Mkurugenzi wa kampuni ya LINO Agency ambao ni waandaaji wa Shindano la Redd's Miss Tanzania,Hashim Lundenga (katikati) akizungungumza na warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss IFM juu ya vigezo na taratibu za kumpata mshindi kwenye fainali zinazotarajia kufanyika siku ya Jumamosi kwenye ufukwe wa Beach ya CINE Club jijini Dar.Kushoto ni Muandaaji wa Redd's Miss Highr Leaning na Kulia ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania,Bosco Majaliwa
Msanii wa muziki wa Kizazi kipya,Diamond akielezea namna alivyojiandaa kufanya unyesho shoo kubwa kwenye fainali ya Redd's Miss IFM jumamosi hii kwenye Ufukwe wa CINE CLUB,Wengine Pichani ni warembo wa shindano hilo Rosa Damazo (kushoto) na Waliosimama ni Teressia Issaya (kulia) na Caroline Dandu na kushoto ni Mwalimu wa Warembo hao,Ester Willson.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2012

    Diamond,
    Heshima kwanza kwa mafanikio yako kimziki. Heshima pia kwa uhuru wako wa mavazi. Lakini kwa ajili ya taifa letu; vipi kama ungevaa kofia iliyoandikwa TZ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...