Baadhi ya wanachuo wa Chuo cha Ualimu Ilonga, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, wakiwa wamejipanga kumlaki Mkuu wa Mkoa huo, Mh Joel Bendera (hayupo pichani).
Walimu watarajari wa daraja la A wa Chuo cha Ualimu Ilonga , Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro wakisubiri kutunukiwa vyeti.
Walimu watarajiwa 329 walitunukiwa vyeti vyao na Mkuu wa Mkoa,na kuanzia kesho Mei 7, mwaka huu wanafunzi wa vyuo vya ualimu nchini wanatarajia kufanya mitihani yao ya kumalisha mafunzo yao ya ualimu wa madaraja mbalimbali.
Mkuu wa Chuo cha Ualimu Ilonga, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, Bi. Marietha Putika akisoma taarifa ya ujenzi wa bweni la wanachuo baada ya kukamilika kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa huo, Mh Joel Bendera ( wa pili kulia) kuzindua jengo hilo ( wa kwanza kulia ) ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mh Halima Dendego.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akimkabidhi mmoja wa walimu watarajari zawadi ya kufanya vizuri kwenye masomo.
Picha zote na John Nditi
The students manage to keep their uniforms spotlessly clean, this is despite living in dusty enviroment.
ReplyDelete