Habari uncle michuzi

Tafadhali naomba msaada wa wadau katika hili. Natafuta medical school India au Malaysia. Ningependa sana mwenye information zaidi kuhusu vyuo specific yani recomendations au personal experience anisaidie kimawazo. Ningependa kujua kama kuna recomendations zozote za shule au cities gani nzuri kishule zaidi, na living expenses na school fees. asanteni sana kwa mchango wenu wa mawazo na msaada wenu

Asante sana ankali

Mdau
Mama Claire

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2012

    in case of india zipo ila ni ghali sana, sio rahisi kupata medicine,ila pharmacy wanatoa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2012

    Jaribu kucheki charya university, Bangalore, India. search kwenye net. Utapata. Namimi leo nitakusaidia kusearch niyakurushia majibu kwenye blof hii..

    ROSALINDA

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2012

    bongalore kuna vyuo vya fani hizo lakini tution fee iko ghali kidogo but masoma hayo popote pale yako juu but chuo kama acharya ni kizuri mimi nina mtoto wangu anasoma hapo na kinatambulika some time ukitaka urahisi unaweza kupata degree fake

    ReplyDelete
  4. AMANI MSUEMay 14, 2012

    india zipo kwa miaka minne na nusu ada tuu ni zaidi ya TSHS.150m kwa medicine kipo chuo kizuri mji mdogo mji wa kusoma wa mysore http://www.jssmedicalcollege.in/ web site yao hiyo chuo bora southern india

    ReplyDelete
  5. hujaweka contact mama

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 15, 2012

    wasiliana na global education link ltd wako sabasaba ground, kwa namba 0732 997841 watakusaidia kwa kila kitu unachotaka kujua maana wanahusika na mambo ya education india.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...