Home
Unlabelled
ofisi ya Mtendaji,Kata ya Kibindu Bagamoyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kazi lakini si inafanyika?
ReplyDeleteKazi kwanza mambo mengine baadaye.Jengo au uzuri wake si uzuri wa kazi.Ajabu nini.Mtendaji we endelea usisubiri jengo litakuja baadaye.
Wako maprofesa hivi leo walisoma katika majengo kama hili.
hii si ofisi kaka ungeuliza,ili uonyeshwe ofisi.
ReplyDeleteAlieleta habari kakurupuka maana hicho ni kibao kinachoonyesha ofisi ya kata ambayo ipo upande wa kulia kama mshale unapoonyesha na si nyuma ya hicho kibao, inaelekea alieleta picha aliingia kufanya kazi eneo la watu bila kuonana na viongozi maana kama alipiga kazi hapo lazima angeripoti ofisi ya kata ili iweze kujua kilichomleta ni nini.
ReplyDeleteAaah hiyo siyo ofisi ya mtendaji. Hiyo ilikuwa mashine ya kusaga tena imeacha kutumika mwishoni mwa miaka ya tisini. Ofisi haipo maeneo hayo. Hapo panaitwa kisatuni na ofisi ipo mtaa unaitwa apendae mdau. Kule kwetu hawatozi hela kwa waulizao.....
ReplyDelete