Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt Donald Kaberuka(kushoto) akisalimiana na Naibu Waziri wa Fedha Janet Mbene (kulia) Namanga mkoani Arusha mara baada ya kuwasili kwa ajili ya Mkutano wa Mwaka wa AFDB unaofanyika mjini Arusha. Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Rais Jakaya Mrisho kikwete tarehe 31.05.2012.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2012

    Dr Don Kaberuka,
    welcome home:
    His CV
    1960-1963 Murongo primary School (Karagwe)
    1964-1965 Nyakahanga PS Karagwe middle school
    1966-1968Ihungo Sec. School (Bukoba)
    1969-1972 St Mary's High school, Tabora Boys
    1973-1975 UDSM BA Economioics
    Then to Scotland for MA and PhD.
    Under him, AfDB has built our roads. pesa za walipa kodi wa Tanzania hazikwenda bure.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...