Wadau wakubwa wa Kilimanajro Bia wakijadiliana namna ya mambo yatakavyoenda Uwanja wa Kirumba leo.
 mashabiki na wapenzi wa Muziki wameshaanza kgia uwanjani na kila mtu ana kinywaji chake mkononi na ndio kiingilio chake.
 Mashabiki wakingoja burudani Kirumba hii leo
 Jamani leo ni vitu laini tu hapa Kirumba Mwanza na mambo ndio kama hivyo no chupa ni vijikopo tu
Jamaa ananiambia hapa haingii mtu bila kuponi ya Bia au Malta

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2012

    wenzenu wanashereheka baada ya mavuno nyie mnashereheka kabla ya kulima! kalieni pombe tu, nchi inakwenda hiyo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...