Kikosi cha timu ya soka ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro.
Kikosi cha timu ya soka ya wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Moshi.
Timu ya soka ya waandishi wa habari mkoa wa Kilimanjaro ikipiga jaramba kabla ya mchezo.
Timu ya soka ya  wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Moshi ikipiga jaramba kabla ya mchezo.
tizi likiendelea.
Mpambano ulikuwa ni kivutio kwa watu mbalimbali waliofika katika uwanja wa chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara MUCcOBS,ambapo timu ya Wanahabari iliibanjua bao 3 - 1 timu ya wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Moshi. Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2012

    mbona blog ya Dixon Busagaga siku hizi imefungwa lete habari za Mo Town

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...