Mkurugenzi wa TAKILUKI,Mmanga Mjengo Mjawiri akizungumza na washiriki wa warsha ya utayarishaji wa zana za kufundishia Kiswahili kwa wageni katika ukumbi wa Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar (SUZA).
Mkurugenzi wa mradi wa swahili flagship Zanzibar,Amanda Lichtens akifahamisha jambo katika warsha ya utayarishaji wa zana za kufundishia Kiswahili kwa wageni katika ukumbi wa SUZA.
Baadhi ya washiriki wa warsha ya utayarishaji wa zana za kufundishia Kiswahili kwa wageni katika ukumbi wa SUZA.PICHA NA RAMADHAN ALI - HABARI MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2012

    Yeah hao ndio wataalamu wa kiswahili, hasa kiswahili asili yake ni unguja mjini lakini sasa hivi kina changamoto nyingi ikiwemo ambao sio waswahuli kuingiza maneno yasiyo na mantiki au wakati mwengine matusi kwa wanaojuwa kiswahili.
    Mfano eti kifirio ni kichongeo au pakuwa maana yake download haya ni matusi ambayo kwa mswahili hawezi kuyaongea mbele ya mtu anaemstahi

    "SUZA its time to grow"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...