Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipeana mikono  na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simu za Mkononi Zantel  Zanzibar CEO Ali Bin Jarsh,baada ya kuzindua kifaa  cha mtandao mpya wa Zanztel-3G katika ukumbi wa Zanzibar Bech Resort jana
 Viongozi na wadau mbali mbali wa kampuni ya Simu za Mkononi Zanztel wakiwa katika uzinduzi wa Kifaa kipya cha Mtandao wa Zanzite -3G ,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika Ukumbi wa Zanzibar Beash Resort j
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kwa pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simu za Mkononi Zantel hapa Zanzibar CEO Ali Bin Jarsh,wakibonyeza kitufe ikiwa ni  uzinduzi wa kifaa cha mtandao mpya wa Zantel -3G,katika Ukumbi wa Zanzibar Beash Resort
 Viongozi na wadau mbali mbali wa kampuni ya Simu za Mkononi Zanztel wakiwa katika uzinduzi wa Kifaa kipya cha Mtandao wa Zanzite -3G ,uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika Ukumbi wa Zanzibar Beash Resort 
Picha  zote na mdau Ramadhan Othma wa,Ikulu, Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...