Waziri wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe (katikati) akipokea taarifa ya makabidhiano leo (Jumatano, Mei 9, 2012) kutoka kwa aliyekuwa Waziri katika Wizara hiyo Celina Kombani (kulia) aliyehamishiwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki.Picha na Omega Ngole
Home
Unlabelled
Waziri Mpya wa Katiba na Sheria Mathias Chikawe na Naibu Waziri Angela Kairuki Wapokea Taarifa ya Makabidhiano Kutoka Kwa Waziri Wa Zamani Wa Wizara hiyo Celina Kombani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MH ANGELA HONGERA SANA KWA KUPATA UWAZIRI KATIKA WIZARA UNAYOIFAHAMU VIZURI. NAOMBA MTUPIE MACHO JAMANI KITENGO CHA MAHAKAMA. MAHAKIMU WANASHIDA SANA NA ALLOWANCE YA NYUMBA AMBAYO HAIJAWAHI KUONEKANA TOKA SERIKALI ISEME ITAWALIPIA NYUMBA, BADALA YAKE TUNAONA WAENDESHA MASHITA NDIO WANAOLIPIWA PEKE YAO,NA WAMEZIDI KUPANDISHIWA ZAIDI. JAMANI INAKATISHA TAMAA SANA,HEBU TUELEZWE TATIZO NI NINI,KAMA NI KITENGO CHA MAHAKAMA AU WIZARA.
ReplyDeleteMDAU MWENYE UCHUNGU,