Waziri wa Fedha Dr. William Mgimwa (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo kuhusu Mkutano wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) unaotarajia kuanza mjini Arusha kuanzia tarehe 28 Mwezi huu na utafunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete tarehe 31 Mwezi huu. Kulia ni Mwakilishi wa Benki hiyo hapa nchini Bi. Tonia Kandiero.Picha na Tiganya Vincent, MAELEZO- Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...