Banda ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linavyoonekana katika Viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara nchini (Saba saba.)
Meneja Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume akimuelekeza jambo mmoja wa Wadau wa NSSF alietembelea banda hilo kwenye viwanja vya SabaSaba.
Ofisa Mkuu wa Mipango wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Gerald Sondo akionyesha picha za sehemu ya Mradi wa Nyumba za Makazi zilizojengwa Maeneo ya Mtoni Kijichi jijini Dar.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF),Theopista Muheta akimuelezea jambo mmoja wa wateja wa NSSF alietembelea Banda hilo.

KUONA MAPICHA ZAIDI 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 30, 2012

    Kila siku nasoma habari kuwa NSSF kuna udini wanaajiriwa waislamu tu. sasa mbona naona kwa picha hapo juu na kwa kuwafahamu wote waliotajwa hapo juu si waislamu.

    Jamani tuacheni fitna tumpe pongezi DR DAU ni jembe la kujivunia na si kutaka kumchafua bila sababu za msingi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 30, 2012

    yaani uliyetoa maoni hapo juu umepatia, ni kwamba hawapendi kiongozi muislaam akifanya vizuri, ndio maana kila kukicha wanawatengeneza vikundi vya kugoma, ni mfumo huo. uko pia kwenye mitandao, mie nawaambia dunia nimapito shughuli ni huko kwa alie mmoja.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...