Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Mbagala Midlaster Nsanzugwanko (kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya St Anthony ya jijini Dar es salaam , kwenye  makabidhiano ya vifaa hivyo Mbagala jijini Dar es Salaam leo .Kwa mujibu wa maafisa wa CRDB,  vifaa hivyo ni kwa ajili ya kusaidia shule hiyo ambayo imeandaa tamasha la michao kwa shule za sekondari za nchi za Afrika Masshariki za Kenya, Uganda na Tanzania.
 Kombe litaloshindwaniwa
Wanafunzi wa shule hiyo wakifurahia vifaa hivyo baada ya kukabidhiwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2012

    Astonishing memories, arousing a nostalgia for my glorious old days on the school compounds. School of 1993-1996 mpo wapi jamani?????

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 27, 2012

    Mdau hapo juu Unanikubusha Mr .Turuka (Mwalimu wa GS) aka mzee wa kuchoropa watu Morning Talks za asubuhi.Da nakubuka nilichoropolewaga palikuwa apatoshi...na Bila kumusahau Mr.Mbungu mwalimu wa physics A-level kwa kutunga mitihani migumu
    1995-1997 PCM.
    Mdau-Berlin.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 27, 2012

    Na lile basi la wanafunzi liko wapi?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 27, 2012

    Namwona Urassa hapa anarudisha fadhila kwa shule yake ya zamani

    classmate Form IVF 1999

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...