Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Chid Benz akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
Mwanamziki wa kizazi kipya Sheta na mwenzake wakipagawisha wakati wa uzinduzi wa  Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Ommy Dimpoz akiwapagawisha mashabiki wake waliofurika katika uzinduzi wa Tamasha la"WAJANJA"lililofanyika kwenye ufukwe wa bahari ya hindi Coco beach,Tamasha hilo linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litafanyika katika mikoa minne hapa nchini likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe mfupi kwa shilingi ishirini na tano na kuperuzi facebook na twitter bure.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...