Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Edward Lowassa akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana, muda mfupi kabla ya wajumbe wa kamati hiyo kuelekea nchini Canada, Marekani na Uingereza kwa ziara ya kujifunza.
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo.
Kwa kweli huh ni ufisadi tupu? At a time when the main Parliament session is seating one would have thought these members could figure out a better time for their junket! It is sad that when our Embassies are not adequately resourced and not funded in time as disclosed by the CAG report we would have so called leaders running around for the purpose of spending the balance of their 2011/2012 budget allocations before the budgetary year ends! The fate of out country with such leadership is indeed deem and without promise! God bless Tanzania!
ReplyDeleteBalozi zetu bado ndogo. Tunaomba tufahamishwe tija ya ziara hizi? Kwani wizara ya mambo ya nje kazi yake ni nini?
ReplyDeleteKujifunza nini? ufisadi wa kodi za wananchi....inauma sana.
ReplyDeleteIla Kamati Hii ya Bunge imefanya vizuri kutuaga sisi walipa kodi kwa serikali.
ReplyDeleteTuanaomba mtaporudi pia mtupatie maelezo jinsi Kamati ya bunge ilivyofaidika na ziara hii ya mafunzo.
Pia tunaomba ziara zote za wakuu wetu watoe maelezo ya kutosha kwa umma kabla ya kuapa na mara wanaporejea nchini.
Mdau
MwenyeNchi Mlipa Kodi.
Hakika hii Ni aibu. Tumeshuhudia ziara nyingi zilizoitwa za Kujifunza! Ifike mahali zirejewe na kutathmini Nini Tulijifunza!? Tulielewa somo? Kama ndivyo OK na Kama SIVYO Ambapo Hali ya SIVYO ndiyo kubwa zaidi!! Tujipime tunatokaje hapo!!?
ReplyDelete