Mwenyekiti Mtendaji wa Benki ya KCB Tanzania DK Edmund Mndolwa akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa huduma ya KCB DIASPORA BANKING uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya KCB Tanzania Christine Manyenye akifafanua kuhusiana na huduma mpya iliyoanzishwa na benki hiyo ya KCB DIASPORA BANKING wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti Mtendaji wa Benki ya KCB Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akizindua rasmi huduma mpya inayotolewa na KCB DIASPORA BANKING, Katikati ni Mmoja wa Mameneja wa benki hiyo SHOSE KOMBE. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo MOEZ MIR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...