Mambo yote nenda hapa http://www.bongocinema.com/
Home
Unlabelled
Libeneke jipya la kununulia Bongo Movies Online kwa watu wa ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mtuonjeshe kwanza kama wenzenu wa Nigeria kina Iroko. TV. Mambo ya kuuziana mbuzi kwenye gunia, hamtampata ntu. Lol.
ReplyDeleteFinally we have been waiting this for very long time. I'm so happy
ReplyDeletembona hamjasema mko nchi gani?
ReplyDeletewebsite hamjakamilisha kuweka info hata za dhipping and returns...
hamja weka anuai yenu na namba za simu....
mtu akinunus amkuna pa kurudisha as mnaweza uza dvd mbovu...inatokea hii kokote...
majina ya wenye kampuni hakuna, li mkiiba tujue nani wa kumtafuta
duh kununua bila ku login hii mpyaaaaaa kwangu mzoea kununua online
Hey not on my time i will not pay a pen,for rubbish is jangara
ReplyDeleteSinema za kibongo bado ziko nyuma sana. Ni ndeefu zisizo na mpango. Niliwahi kuiangalia Mrembo kkikojozi nikiwa TZ na nikakosa kuelewa lengo lake ni nini hasa? Watu wanaongea tu kumsimanga na kumkashifu binti mwenye tatizo la ambalo ni la kisaikolojia. Kwenye sinema zingine watoto wanapigwa kikweli kweli, watu wanazozana kama walevi. Kiingereza ndio hivyo, kiswahili basi tena.
ReplyDeleteUkinunua umepoteza pesa zako, hutamaliza kanda na hutapenda kuangalia TENA. Inaonyesha kama vile mtunzi wa sinema hana uhakika iishije? au iwe ndefu kiasi gani. Watu wanazozana wee ili kuitisha muda kuvuta Part two. Kwa filamu tuko nyuma saaana!
Labda ununue ili wanao wasisahau kiswahili ukiwa ground basi waangalie sinema kwa masaa matatu![ila waonye kama kuna mtoto anateswa kwenye filamu atapigwa vya ukweli ukweli] Kalaga baho!
Kwa maoni ushauri na mambo mengi nimeona hapa juu nimetambua kuwa kweli wtu hawaipendi nchi yao kama huyu KALAGA ndio kabisa wazungu ni kwake, Maisha hayaendi hivyo mbona mimi nimenunua na zinaonyesha safi sana. Kwa kweli nimeamini bado tunawaabudu wazungu. Badala ya kusifia chetu bado tunakiponda? Irene New Jessy
ReplyDeleteI LOOOVE BONGO MOVIES HATA MSEMEJE! Thanks for the link. Princess, New York
ReplyDeleteMDAU WA NEW JERSEY, UMESOMA MADA YA LEO KUHUSU SANAA YA FILAMU? WASANII WENYEWE WANAZOKOSOA. UKWELI TUUSEME, HUWEZI KUBORESHA KAZI BILA KUKOSOLEWA.
ReplyDelete