Marehemu Zainabu Bakari (Mama Sija) |
Mama tunakukumbuka sana kwa ucheshi wako,
malezi mazuri na mapenzi yako kwetu.
Mwenyezi Mungu ampe kheri katika kila hatua atakayopitia.
Unakumbukwa sana na mumeo Mzee Sijaona, wanao Sijaona, Bakari,
Mwanahamisi, Issa, Salehe, Sijawa, Hija, Ally na mjukuu wako Lydah.
انا لله وانا اليه راجعون
ReplyDeleteLabeka umeitika, wito wake RAHMANI,
Kughufiri lopituka, akuweke kivulini,
Ya hesabu kijafika, pepoye uwemo ndani,
Zangu DUA niitika, TAQABALI RAH'MANI.
Ya Ar'hama R'rahimin, akughufirie kwa yote, akunusuru na adhabuze na kukujaaliya JAN'NATU N'NAEEM - AMEN.
mwenyezi mungu amlaze mahala pema peponi amin
ReplyDeletena amsamehe makosa yake ya dhahiri na ya siri amin