Familia ya Mgondah chang'ombe Temple Road, wanatoa shukrani kwa wote waloshiriki katika msiba wa mpendwa wao JOSEPH TOM MGONDAH (pichani), aliefariki 15/6/2012 hapa dar es salaam na kuzikwa 17/6/2012 huko Lusanga (muheza) Tanga.
Kutakua na mkesha siku ya 27/7/2012 ikifuatiwa na Misa ya shukrani siku ya 28/7/2012 huko Lusanga (Muheza) Tanga Saa3 asubuhi katika Kanisa la Watakatifu wote, mnakaribishwa kuja kujumuika nasi.
JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
May your soul rest in ☮️ deeply missed big joe
ReplyDelete