Sehemu ya jengo hilo ambalo lina vyumba zaidi ya ishirini vikiwemo vya uangalizi maalumu kwa ajili ya mgonjwa, dawa ya usingizi, ofisi, vyoo, mapokezi na kadhalika
 Serikali imekamilisha ujenzi wa jengo la upasuaji cha kisasa zaidi nchini katika hospitali ya wilaya ya Hai ambapo ujenzi pamoja na vifaa na mashine zilizopo umegharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.Uzinduzi wa jengo hilo unatarajiwa kufanywa na Rais Jakaya Kikwete atakapokuwa ziarani katika mkoa wa Kilimanjaro. Pichani Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe.Novatus Makunga akikagua jengo hilo la upasuaji la hospitalini ya wilaya ya Hai na kupata maelezo kutoka kwa watendaji wa hospitali hiyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...