Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw.Raymond Mbilinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti Mteandaji  wa kampuni ya Agro EcoEnergy Tanzania Limited Bw. Per Carstedt  (kushoto) wakati alipofanya ziara ya siku moja katika shamba kubwa la kisasa la zao la miwa linalomilikiwa na kampuni hiyo wilayani Bagamoyo jana.  Kati kati ni Mkurugenzi  Mtendaji wa kampuni hiyo, Bw.Anders Berfors.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2012

    hawa jamaaa watuachieee ardhi yetu wakalime miwa yao ya kuzalishia mafuta ya magari makwao, sisi tunayo gesi ya kuendeshea magari yetu, kwao ardhi lukuki, kwa nini hawalimi kwao?? ardhi yetu sisi ni kidogo sana haitutoshi!! tunahitaji kulima mazao ya chakula cha binadamu na sio mafuta ya magari!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...