Bwana Gideon Mandesi kutoka taasisi ya Dolasedi akiongea na waandishi wa habari juu ya mpango wa kuwakilisha mapendekezo ya pamoja ya watu wenye ulemavu kwa kamati ya kukusanya maoni ya katiba.
 Makalimani akiwaelezea washiriki wenye ulemavu wa kusikia majadiliano yalikuwa yanaendelea kwenye kongamano hilo.
 Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba nchini, Bwana Deus Kibamba akiwajengea uwezo jamii ya wenye ulemavu nchini namna watakavyoshiriki kikamilifu katika mchakato wa katiba unaoendelea nchini.
Watu wenye ulemavu wakiwa katika kongamano la kuwajengea uwezo namna watakavyoshiriki katika mchakato wa kukusanya maoni ya katiba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...