Bi Mariam Shamte, Mkurugenzi Mkuu wa Princess Nadia (1998) Ltd akiweka mambo sawa kwenye banda lake katika maonesho ya SabaSaba ambako amevutia wengi kwa bidhaa mbalimbali za katani anazoonesha
 Mazuria ya katani
Bidhaa mbalimbali za katani bandani hapo.
Contact zao ni: mamuu1@hotmail.com
simu: +255 754304861

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...