Michuzi..hapo ni mwizi akipigwa nje ya jengo la PPF House jijini Dar es salaam sasa hivi. Juu anaoneshwa  akiokolewa na askari magereza na ya chini ni jamaa akiwa na mkanda wa hirizi inayodaiw kutumiwa na huyo kibaka  kuibia watu. Alikua kaiba simu.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2012

    Hejamani nyie kwavile kaiba simu ndo mumfanye hivyo. sio vizuri nyie watanzania

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2012

    Kila mtu sasa ni kwa mganga!Looh hata kibaka!,,,Kweli Bongo tutafika?
    Ahlam

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2012

    Poor devil.
    He may be stupid and greedy, but also consider he may just be desperate. Poverty breeds desperation.The other day I nearly cried when I read what a 15 year old had written, he was poor and desperate: I wish I was born a blade of grass on the side of the road, or a fistful of sand at the mercy of the wind(Jeong). So mwizi, ok, but he is binAdam kama mimi nawe.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2012

    Mdau wa kwanza inaelekea we hausji tz, hawa watu wanatufilisi sn kwahy we ulitaka afanyweje? Hy ndo dawa yao wewe

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2012

    @anonymous 1. HATA SIKU MOJA USIMTETEE MWIZI, IPO SIKU UTAKUJA KUJUA KWANINI WATU WANAPIGA MWIZI BILA HURUMA. AU HUJAWAHI KUIBIWA WEWE?????

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2012

    Pengine hirizi ina kazi tofauti na hiyo mnayoitangaza kwa uma bila ya ufahamu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 25, 2012

    Hii Sayansi ya Kiza pana umuhimu kaondolewe kale kausaanii ka kumuhusisha au kumuingilia BOSI wetu Mkuu Mungu halafu ikaingizwa ktk Vituo vya Kisayansi na UTAFITI kama MUHIMBILI, DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT) NA ARUSHA TECH!

    Kwa mtaji huo maendeleo ya Sayansi na Tekinolojia tutakosa kweli?

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 25, 2012

    Bongo kwa mganga ni kuanzia waziri hadi kibaka na sijui imani hizi za kibongo tulirithi wapi

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 25, 2012

    Duhhh mtezameni Mdosi 'Mhindi' picha ya chini kushoto mwenye shati nyeupe anavyolishangalia 'DUMANGO' (kamba la hirizi) ni macho tochi balaa.

    Mhindi Duka, Mkonongo Ndumba!

    Ama kweli kila mtu na Kipaji chake!

    Ebo?

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 25, 2012

    Ngoma imedunda!

    Babu kamdanganya Mwizi?

    Babu alimshauri afanye kazi baada ya muda wa Futari yeye Msela akazama mtamboni mchana kweupeee!

    Au mwizi amevunja mashariti na Babu labda?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 25, 2012

    HUyo ndio kibaka tu wa simu za mikononi? je wezi wa mabenki na kuvamia majumba ya watu si ndio wanatembea na vichwa vya zeruzeru?

    haya Tanzania hoooooyyyyyreeeeeeeee

    mdau london

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 25, 2012

    Ha ha ha watu bwana hata hawajuwi kutafautisha Baina ya Mdosi na mwalabu sijuwi wanatokea wapi?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 25, 2012

    ukiona mtu anamhurumia mwizi hajadhurika huyo...kwa sis yalotukuta no mercy at all

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 25, 2012

    Lakini wewe uliesema Kuna muindi mimi nimezoom hiyo picha jamaa sio muindi usiropoke tu kwani mbaguzi?

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 26, 2012

    Msela (mwizi) amevunja mashariti!

    Babu alimpatia huduma ya tiba muda kabla ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu kuingia akamsisitizia kuwa asifanye kazi ndani ya Mfungo lakini Msela akadharau hilo!

    Babu ahhh, yeye mwezi kuingia tu yupo Likizo na alisimamisha huduma zote!!!

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 26, 2012

    Mwenyezi Mungu akiombwa hutoa!

    Isipokuwa jamaa mwizi amebugi baada ya kuiba ndani ya kipindi cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu!

    Ndio maana 'msala umechanika' na kapata kipigo.

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 26, 2012

    Duhhh uwezo wa Kisayansi una kikomo, kama hapa uchawi umegonga mwamba!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 26, 2012

    Duhhh ndio pale unashuhudia punda anashindwa mzigo anakaa chini!

    Uwezo wa Kisayansi una kikomo chake, kama hapa sasa jamaa amekuwa akiwaliza watu kwa msaada wa uchawi na leo sasa imefikia ukomo na 'msala umechanika' aibu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...