Ajali  imetokea saa moja iliyopita ktk barabara ya Nyerere Road karibu na AfriCare na kiwanda cha Peps  jijini Dar es salaam baada ya  dereva wa gari ya fuso ya kichina (jiafeng) iliyobeba maji masafi  kupiga 'No-linda' kuingia kulia bila kuangalia gari zinazotoka moja kwa moja airport..hakuna aliyepoteza maisha. Ila kumeguka kwa bodi ya lori hiyo kumezua hofu zaidi kwa wananchi juu ya magari yenye ubovu huo kuruhusiwa kutumia barabara zetu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2012

    Mambo ya China hayo...nunueni magari ya ukweli

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2012

    chezea china wewe!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...