Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha ikulu Makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini Kgalema Motlante wakati mgeni huyo alipomtembelea Rais.kulia ni makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini Kgalema Motlante(kushoto) ikulu jijini Dar es Salaam.Kulia nia Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2012

    kweli nabii hatambuliki kwao; enyi watanzania oneni namna makamu wa rais wa afrika kusini alivyo mwamkia Rais wetu tizameni heshima hiyo...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...