Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,(wa pili kulia) na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda, na Viongozi mbali mbali wa  vyama na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar, wakati alipokuwa akirejea Nchini,akitokea nchini Uimgereza kwa ziara maalum,katika safari hiyo alifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa  vyama na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakati alipokuwa akirejea Nchini,akitokea nchini Uingereza kwa ziara maalum,katika safari hiyo alifuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali wa  vyama na Serikali,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakati alipokuwa akirejea Nchini,akitokea nchini Uingereza kwa ziara maalum

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2012

    nimewahi kuona comments za wazanzibar wengi wakimcheka pinda kuwa ana sura mbaya. Je huyo seif ni handsome?

    ReplyDelete
  2. Anon. wa kwanza hapo juu. Mbona 'Ze Komedi' walimuigiza na kudai uonekano wa sura yake hiyo ni kutokana na ZOEZI LA HASIRA wakati akiwa jeshini. Je, hao utawambia nini, usiangalie upande mmoja wa shilingi madhali huna ushahidi wa kutosha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...