·         Ramadhaan-Swawm
Anasema Allaah سبحانه وتعالى:
((يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ)) (( أَيَّامًا مَّعْدُودَاتٍ ...
((Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa Swawm, kama waliyofaradhishiwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allaah))(([Mfunge] siku maalumu za kuhisabika…)) [Al-Baqarah: 183-184]
Na Amesema Mtume صلى الله عليه وآله وسلم:
(( من صام رمضان إيماناً و احتساباً غفر له ما تقدم من ذنبه )) أخرجه البخاري ومسلم
Amesema Mtume صلى الله عليه وآله وسلم ((Atakayefunga Ramadhaan kwa Iymaan na kutaraji malipo ataghufuriwa madhambi yake yaliyotangulia)) [Al-Bukhaariy na Muslim].
Ndugu Muislamu, zifuate Nasiha 40 zifuatazo katika mwezi wa Ramadhaan uwe miongoni mwa watakaotoka ukiwa umeghufuriwa madhambi yako na umechuma thawabu tele. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2012

    mashallah sub hanna Allah, rahman akujazi kila la kheri na barka tele issa michuzi kwa kutuwekea mawaidha mazuri sana na aliyaandika pia.

    inshallah Allah atupe kila la kheri na kutukubalia funga zetu na atuweka katika fungu la waja wema Allah ma amin.

    New York

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 14, 2012

    ماشاءالله

    ReplyDelete
  3. جزاك اللهُ خيراً‎

    La kwanza KUREHEMEWA, ndilo kumi la awali
    Lafata KUSAMEHEWA, atughufiri JALALI,
    HURU NA MOTO ACHIWA, tutubu TOBA ya kweli,
    Ya NNE nguzo lopewa, tuisimike kikweli.


    INSHA ALLAH, Mwenyeez Mungu atujaaliye kila jema kheri, salama na amani, katika MWEZI HUU MTUKUFU WA RAMADHAN, kuanzia awali yake mpaka akhiri yake.


    RAMADHAN KAREEM.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2012

    tufunge waislam wenzangu nasiha kwa wote.bongo flava inaishia hapa hapa hata makaburini haifiki lakini faida ya funga inakusubiri pale watu watakapoondoka baada ya kuzikwa.ramadhani karim

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...