WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII INAWATANGAZIA MADAKTARI WOTE WANAOFANYA MAFUNZO KWA VITENDO (INTERNS),  WALIOPEWA BARUA ZA KURUDISHWA  KWA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII, WANATAKIWA KURIPOTI MAKAO MAKUU YA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII IFIKAPO SIKU YA IJUMAA TAREHE 6 JULAI, 2012.

IMETOLEWA NA:
KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
3/07/2012


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 03, 2012

    Kwa kawaida serikali huwa haiyumbishwi, hao vijana wakishindwa kuripoti hadi kufikia siku hiyo iachane nao ili wakaajiriwe huko wanakokupenda na 'liwalo na liwe', na ninaamini kuwa hawatakuwa na mafanikio kwa vile watakuwa wamekosa radhi za mzazi wao ambae ni serikali. Kuzidi kuwabembeleza ni kuitia aibu serikali na wataendelea kufanya hivyo kila siku kufuata maagizo ya huyo 'Bwana' yao!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2012

    tumesoma kwa mgomo kuanzia siku ya kwanza tunapojiunga chuo na nikawaida tunagoma na kisha wanatuita kwa barua kujieleza na baada ya mwaka tena tunagoma.udhoefu tuliojengewa na serikali katika suala la migomo vyuoni ndio tunautumia sasa.na unaweza mburuta punda mtoni ila huwezi mlazimisha kunywa maji.ngoja tuone mechi itakavyokuwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...