Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Steven Wasira akihutubia kwenye  mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
 Naibu  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,) Aggrey Mwanri akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
  Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
 Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tzeba akihutubia kwenye  mkutano wa CCM uliofanyika kwenye  Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini  Kigoma.
 Viongozi.
 Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga mkoani Kigoma
 Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa Community Cetre Mwanga Kigoma
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akituzwa na Mbunge wa Kigoma Mjini,  Peter Serukamba alipocharaza gita, kwenye mkutano wa CCM, Uwanja wa Communiy Cetre, Mwanga Kigoma
  Habibu Ally wa kikundi cha Ujiji cha Sebene akicharaza kinanda akiwa chali wakati wa mkutano huo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2012

    hawana lao jambo chadomo tuu kigoma ni mkoa masikini sana na pato lake linatiwa kapuni kunufaisha mikoa minginewe.

    michuzi usiponiwekea comment yangu hii nitajua hupendi maendeleo ya wana kigoma

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2012

    Wana kigoma ndo wanatakiwa kubadilika na kujua nani wa kuwaokoa. nimekaa kigoma mwaka mmoja ila sina hamu ya kurudi huko, barabara shuhuli, maji usisema, umeme sahau. Ni mkoa ambao niliona ombaomba maana wengi wamezoea ombaomba dar ila kwa watu wa kijijini kukuta wanaomba wakati wana mashamba ni dalili mbaya hasa pale jirani na kanembwa cjui nshasahau vijiji. CCM wanawachota akili na miziki wananchi then wanateseka miaka mitano ijayo. MUNGU FUNGUA AKILI ZA WATANZANI WASIDANGANYIKE NA HUDUMA YA SIKU MOJA NA KUTESEKA MAISHA

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2012

    Hayo maon yote hapo juu ni ukwel mtupu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 24, 2012

    Wanatumia nguvu nyingi kusafisha chama ila njia rahisi ingekuwa ni kuwatema mafisadi maana hilo halisafishiki hasa unapowahutubia watu maskini kama hawa wa Kigoma wakati wanaona viongozi walivyo na mapesa yasiyoelezeka!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...