
Waziri wa Nchi Ofsi ya Rais, Mahusiano, Steven Wasira akihutubia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika, jana , Julai 22, 2012, kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala wa Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,) Aggrey Mwanri akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia, kwenye mkutano wa CCM uliofanyika kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Charles Tzeba akihutubia kwenye mkutano wa CCM uliofanyika kwenye Uwanja wa Community Centre, Mwanga mjini Kigoma.

Viongozi.

Mamia ya wananchi waliofurika kwenye mkutano wa CCM katika Uwanja wa Community Centre, Mwanga mkoani Kigoma

Wazee kwenye mkutano wa CCM, Uwanjwa wa Community Cetre Mwanga Kigoma

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akituzwa na Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba alipocharaza gita, kwenye mkutano wa CCM, Uwanja wa Communiy Cetre, Mwanga Kigoma
Habibu Ally wa kikundi cha Ujiji cha Sebene akicharaza kinanda akiwa chali wakati wa mkutano huo

hawana lao jambo chadomo tuu kigoma ni mkoa masikini sana na pato lake linatiwa kapuni kunufaisha mikoa minginewe.
ReplyDeletemichuzi usiponiwekea comment yangu hii nitajua hupendi maendeleo ya wana kigoma
Wana kigoma ndo wanatakiwa kubadilika na kujua nani wa kuwaokoa. nimekaa kigoma mwaka mmoja ila sina hamu ya kurudi huko, barabara shuhuli, maji usisema, umeme sahau. Ni mkoa ambao niliona ombaomba maana wengi wamezoea ombaomba dar ila kwa watu wa kijijini kukuta wanaomba wakati wana mashamba ni dalili mbaya hasa pale jirani na kanembwa cjui nshasahau vijiji. CCM wanawachota akili na miziki wananchi then wanateseka miaka mitano ijayo. MUNGU FUNGUA AKILI ZA WATANZANI WASIDANGANYIKE NA HUDUMA YA SIKU MOJA NA KUTESEKA MAISHA
ReplyDeleteHayo maon yote hapo juu ni ukwel mtupu.
ReplyDeleteWanatumia nguvu nyingi kusafisha chama ila njia rahisi ingekuwa ni kuwatema mafisadi maana hilo halisafishiki hasa unapowahutubia watu maskini kama hawa wa Kigoma wakati wanaona viongozi walivyo na mapesa yasiyoelezeka!!!
ReplyDelete