ANGELA CAKES ,kwa mawasiliano mtu akihitaji ni 0782 297408 na 0713 297408.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Sorry mbona finishing touch mbaya! Sijazipenda kabisaaaaa

    ReplyDelete
  2. bado sana hazina finishing nzuri angalia cake za monica au tambaza finishing zao hujafikia kiwango ata kidogo hizi ata mimi natengeneza ambae cjui

    ReplyDelete
  3. Ili tuweze kukusaidia dada Angela, na mimi naomba niwe mkweli. Kama alivyosema mwenzangu hapo juu kuhusu finishing ni kweli kabisa. Finishing ni kitu muhimu sana kuhitimisha kazi yako. Hiyo plate ya chini ya kushikia keki yako inabidi uiongezee thamani, haijakaa vizuri kabisa. Raha ya chakula kiwe katika sahani nzuri.

    Pili, keki lazima ziwe na mvuto. Hiyo keki ya kwanza, hiyo ndefu inaonekana bayana kuwa imepinda. Haileti picha nzuri. Hiyo keki ya pili iliyokaa kama kombe lililoangalia chini, haijulikani hasa kuwa ni kitu gani.Kisha rangi yake si nzuri kabisa, imekuwa kama parachichi lisiloeleweka. Vilevile, hayo maneno sina hakika yanasema nini kwa kuoanisha na hiyo keki.

    Vilevile, naomba uzingatie rangi katika keki zako. Rangi huvutia mteja na kumfanya afanye uamuzi sahihi wa bidhaa yako.

    Keki zilizofiata ni nafuu, lakini ninakusihi sana uzingatie ushauri nilioutoa kwa nia njema tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...