Kaimu Mkurugenzi wa Ajira,Bibi Marietha Mcha (aliyesimama) akizungumza katika mafunzo ya siku tano ya namna ya kuhuisha ajira na kazi zenye staha katika mipango ya programu za maendeleo ya serikali yanayofanyika Kibaha kuanzia tarehe 13-17 Agosti, 2012.
Washiriki wakiwa katika mafunzo ya siku tano ya namna ya kuhuisha ajira na kazi zenye staha katika mipango ya programu za maendeleo ya serikali yanayofanyika Kibaha kuanzia tarehe 13-17 Agosti, 2012.
Washiriki wa mafunzo ya siku tano ya namna ya kuhuisha ajira na kazi zenye staha katika mipango ya programu za maendeleo ya serikali yanayofanyika Kibaha kuanzia tarehe 13-17 Agosti, 2012 wakiwa katika picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...