Mdau na mwanalibeneke mkuu wa mtandao wa mkandawilejr.blogspot.com Raymond Mkandawile katika  taswira mbalimbali za siku ya kihistoria ya tarehe 4/08/2012ambapo yeye  na Bibie Janeth Manongi walimeremeta  huko jijini mbeya katika kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania usharika wa Sinai na kufuatiwa na mnuso wa nguvu uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha Teku uliyopo maeneo ya Block T.
 Raymond na Janeth wakipeana mawili matatu
 wakila pozi
Wakimeremeta

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongereni na kwa kweli mmependeza!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...