Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nimempenda Rais wangu hapo, hakumruhusu Salim Kikeke amburuze hata kidogo... maana hawa waandishi wa habari wa kimataifa wana tabia mbaya sana ya kuburuza viongozi wetu kwenye mahojiano. Tim Sebastian aliwahi kumkasirisha kabisa Uncle Ben huko nyuma.

    ReplyDelete
  2. Editng jamani hi ni BBC pamja ya kwamba tuna bonga kiswahili

    ReplyDelete
  3. Lakini wananchi tufafanuliwe kinaga ubaga kuhusu hili suala la mufuta, tufahamishwe faida zote na hasara zote (the whole scenario).

    ReplyDelete
  4. Editing kwenye video ni muhimu.Rangi ya picha maneno na vitendo vinaelezea mengi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...