Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mkewe Mama Salma Kikwete na familia yake akijibu maswali toka kwa karani wa sensa ya watu na makazi Bw. Clement Ngalaba leo Agosti 26, 2012 wakati alipojiunga na mamilioni ya Watanzania katika zoezi hilo lililofanyika kwa mafanikio makubwa nchi nzima.PICHA NA IKULU


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Nyumbani kwake wapi IKULU au mikocheni? Habari haijitoshelezi.

    ReplyDelete
  2. kungekuwepo na taratibu za kisasa kusingekuwepo na mambo ya kupoteza wakati na hela za walalahoi kwa kuhudumia shughuli za uandikishaji

    mambo ya kuhesabiwa kwa njia hiyo ni mambo ya kizamani sana sasa tupo 2012

    kazi hiyo ilifaa kufanywa kule ofisi za uzazi na vifo pekeyake

    kila anaezaliwa au anaekufa ingelikuwa anapatiwa cheti kwa muda muafaka basi watanzania tusingehitaji kuhesabiwa kama maembe sokoni.

    tunahitaji maendeleo ya namna kama hizo na sio maendeleo anayoyaona ankali michuzi ya vikwangua anga.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...