Wafanyabiashara wa Lebanon wapo wengi jijini Accra na wengi huendesha biashara ya hoteli
 Sehemu ya mtaa katika jiji la Accra
 Bei ya wese. Kwa bei ya fedha dola moja ya kimarekani sawa na madafu mawili ya Ghana
 Daraja la Manzese karibu na Kwame Nkrumah Square
 Majengo ya kisasa
 Barabara pana na safi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Hii ya basha restaurant inatia wasiwasi umesalimika anko

    ReplyDelete
  2. Ankal, katika hizi picha naona idadi ya watu sio wengi kama mitaa ya bongo. Hali ndivyo ilivyo au umechagua maeneo mahsusi ya kupiga picha? na vipi hilo Freemason Hall?

    Kazi na swaumu njema.

    ReplyDelete
  3. Michuzi umenichekesha sana ndugu mpaka mtoto kastuka chumbani, sasa umeweza kuingia hapo BASHA!?

    ReplyDelete
  4. Cha ajabu nini sasa hapo, mmeyasahau majina mbali mbali ya miji/maeneo kadhaai ya nchini JAPANI?

    Kwa ujumla mji mzuri, msafi na unavutia kwa kiasi chake, sijuwi hizo chochoro zao na wao zina muonekano upi, hapa naona zimechaguliwa sehem kadhaa zinazovutia, by the way nice pics, akhsante kutuonyesha mandhari ya GHANA ilivyo.

    ReplyDelete
  5. Bei ya wese.........sawa na madafu mawili ya .... Michuzi tumia lugha zinazoeleweka kwa watu wote. Usitumie kiswahili cha mitaani. Hapo unawanyima wengine kupata habari.

    ReplyDelete
  6. Duh kama ni hivi kweli wenzetu wameendelea, maana ankal unatembea jijini hakuna hata takataka kama hapa kwetu bongo? najiuliza hivi ni kwa nini tuko useless katika suala zima la usafi hapa kwetu?

    ReplyDelete
  7. Che GuevaraAugust 10, 2012

    Nini Freemason Hall je BASHA restaurant?

    ReplyDelete
  8. Salaleee.... chunga usije ukaingia hapo Basha restaurant.

    ReplyDelete
  9. taswira ni nzuri sana, asante kwa kutupa updates
    -Swaum njema

    ReplyDelete
  10. Afadhali kwa wenzetu mafuta bei chee, ngoja nasi tuanze kuchimba mafuta pengine bei itapungua.

    ReplyDelete
  11. Fedha yao naona ipo juu sana,inaitwaje Ankal?

    ReplyDelete
  12. Umekwenda Accra sehemu gani? Jaribu kutembelea mitaa ya 'Kariakoo' ya Accra uone huyo mtu aliyepo, yaani Daresalama hakufui dafu.

    Ankal nilikuwepo miezi 2 nyuma na pia nilishambuliwa na majambazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...