Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kalenga na Waziri wa Fedha , William Mgimwa kwenye viwanja vya Buge Mjini Dodoma Agust 7, 2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Tabora Mjini , Aden Rage (katikati) na Mbunge wa Viti Maalum Margaret Sitta kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma Agust 7, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...