Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Khamis Suedi Kagasheki amekanusha uvumi unaosambazwa na Shirika moja kupitia mtandao wake wa AVAAZ.org kuwa watanzania wa Jamii ya Kimasai wapatao 48,000 watahamishwa kutoka eneo lao (la Serengeti) kupisha Wafalme kutoka Mashariki ya Kati ili walitumie eneo hilo kwa uwindaji wa Simba na Chui.

Taarifa hiyo iliyosambazwa na mtandao huo imewataka watu kutoka duniani kote kujiorodhesha ili wafikie angalao 150,000 ili kumshinikiza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuacha kusaini mkataba ambao utafanya uhamisho huo utekelezwe.

Waziri Kagasheki amesisitiza kuwa uvumi huo siyo kweli na hauna msingi wowote kutokana na sababu zifuatazo:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. sijaelewa ila nimezoea matamko na kukanusha.hivyo si mbaya tumepata chakula kile kile leo tena

    ReplyDelete
  2. Lisemwalo lipo na kama halipo .....!

    Pengine tumuuize waziri kuwa kama jambo hilo halipo ni kwa nini azuie watu wasisaini?

    ReplyDelete
  3. Gazeti la The Guardian la Uingereza 15/08/2012:#

    Nearly 750,000 people have signed the Stop the Serengeti Sell-Off petition on the online activism site Avaaz.org, which says government ministers' Twitter and email accounts are also being swamped by messages from its members. But the Tanzanian government vehemently denies the allegations, maintaining that those who sign the petition are being misled by an "unfounded and nonexistent eviction claim".

    Disputes over the land on which the Maasai live and herd their cattle have been running for 20 years. Seeking income from tourism, the government has welcomed foreign investors including the Ortelo Business Corporation (OBC), a safari company set up by a UAE official close to the Dubai royal family.
    Soma zaidi source: http://www.guardian.co.uk/world/2012/aug/15/tanzania-evict-maasai-uae-royals

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...