Ujumbe kwa Watanzania wote waishio Marekani kutoka kwa Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico, Mhe. Mwanaidi Maajar TEGA SIKIO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa


  1. zikitokea nafasi za kazi ubalozini mnatafuta watu kutoka Tanzania kuja hapa kupokea simu kazi ambayo ingeweza kufanywa na mtanzania wa kawaida hapa USA. lakini ikifika wakati wa kugawa mahandazi na maharagwe basi tunakaribishwa lakini kwenye swala la ajira hamtuoni.

    ReplyDelete
  2. Annoy wa kwanza umesema kweli...na kukiwa na opportunities za tender huko nyumbani, na za biashara na makampuni ya USA wanachukua wao na ndugu zao...sisi wasindikizaji tu...!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...