Meneja masoko wa Grandmalt,Fimbo Butallah (katikati) akiwa na Naibu katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFA), Masud Attai Masud na Mwanaseria wa ZFA wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya Zanzibar mara baada ya kukamilika kwa sermina ya wanahabari kuhusu ligi kuu ya soka ya Grandmalt kwenye hotel ya Zanzibar Ocean View Leo
Home
Unlabelled
Grandmalt na ZFA wawapiga msasa wanahabari wa Zanzibar Leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...