Ndugu Dismas Massawe, (aliyeinua gazeti) CEO na Mkurugenzi Mtendaji wa MAN Magazine akiongea na waandishi kwa nini kampuni yake inajihusisha kwa karibu katika kampeini ya kutoa elimu, utetezi na msada kwa gonjwa saratni ya tezi dume. Wengine katika picha ni Dr. Kandusi, Mratibu wa Tanzania 50 Plus Campaign na Mr. Kaale mtaalamu wa tiba ya mionzi wa
 Ocean Road Cancer Institute. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...