MAREHEMU DR. MWATANGA IDDI GUNZARETH

MAMA YETU MPENDWA TAREHE 14/9/2012 ANAKUWA AMETIMIZA MIAKA SABA (7) TOKEA AFARIKI DUNIA TAREHE 14/9/2005.

MAMA, TUNAKUKUMBUKA SANA KWA UPENDO WAKO, FADHILA ZAKO, NA UCHESHI WAKO ULIO KUWA NAO NA KUTUPATIA WAKATI WA UHAI WAKO.

MAMA, UNAKUMBUKWA SANA NA WATOTO WAKO WAPENDWA NEEMA NA MASUNGA, WAJUKUU ZAKO, WAKWE ZAKO, NDUGU ZAKO, JAMAA NA MARAFIKI ZAKO WOTE.
MAMA, SISI TULIKUPENDA SANA, LAKINI MWENYEZI MUNGU ALIKUPENDA ZAIDI.
MAMA YETU MPENDWA, TUNAZIDI KUKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALA PEMA PEPONI AMEN.

RAHA YA MILELE UMPEE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI AMEN.!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...