Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza wakati wa majadiliano ya kubadilishana mawazo kuhusu  namna ya  kuwasaidia na kuwahamasisha  wanafunzi   kushirikia katika masomo ya  Sayansi, Tekinolojia, Uhandisi na  Hesabu Mkutano huo ambapo  uliandaliwa na Bi Savannah Maziya Mkurugenzi  Mtendaji wa Bunengi Gropu kwa kushirikiana na Makampuni mengine na kupewa jina la  la African First Ladies Roundtable, Umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa jengo la  Suisse America , jijini New York na kuhudhuriwa na  baadhi ya  wake wa marais,  wakurugenzi wa makampuni mbalimbali, wanadiplomasia na wahadhiri.

Mama Salma Kikwete akibadilishana mawazo na   Bibi Katalin Bogyay Balozi wa  Hungary UNESCO na amebobea katika diplomasia ya utamaduni  na mtetezi mkubwa wa masuala yahusuyo  fursa sawa ya elimu kwa mtoto wa kike.  Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...