Wachezaji wa timu ya Moshi veterani wakiwa katika mazoezi katika Senpai Gym ya mjini Moshi kujiandaa na mechi mbili Morogoro
 Tizi likiendelea
 Tizi la tumbo na ubavu
 Mdau akijiandaa 'kutembea' kilomita kadhaa
mwalimu wa mazoezi katika kituo cha mazoezi cha Senpai fitness center kilichopo Sabasaba jiranina uwanja wa Meimorial,Senpai Samwel Njau mwenye kofia akitoa maelekezo ya mazozi kwa wachezaji wa timu ya Moshi veterani.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...