Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akimpatia hati ya kiapo Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Mhe. Hussein Kattanga mara baada ya kuapishwa kwake kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Anayeshuhudia katikati ni Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Mhe. Ignas P. Kitusi. (Picha na Mary Gwera, Mahakama ya Tanzania)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...