OFFICE YA TAWI LA CCM NEW YORK NA TRI STATE INATANGAZIA WANACHAMA WAKE KWAMBA TAREHE 15/09/2012 KUTAKUWEPO NA MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WOTE NA MKUTANO UTAFANYIKA 498 E 167TH STREET, BRONX NY 10456 KUJADILI AGENDA ZIFUATAZO:

1- KUANDIKISHA WANACHAMA
2-UGAWAJI WA KADI
3-UCHAGUZI  WA VIONGOZI WA KUDUMU

MUHIMU ZAIDI NI KWAMBA KAMATI ILIOPO SASA NI YA MUDA, HIVYO MNAOMBWA NYOTE KWA JUMLA KUSHIRIKI ILI MPATE FURSA YA KUCHAGUA VIONGOZI MUATAKAO.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
OFISI YA CCM NY NA TRI STATE
MWENYEKITI WA MUDA
M. MAFTAH 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...