KAMATI YA MUDA INAWAKARIBISHA KATIKA HAFLA NDOGO YA KUCHAGUA 
VIONGOZI WA JUMUIYA SWEDEN.
WACHACHE WAMEJITOKEZA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI ZA OUNGOZI NA WENGINE AMBAO WANGEPENDELEA KUGOMBEA PIA WANAKARIBISHWA (NAFASI BADO ZIPO)!
                                    MAHALI: UBALOZINI, 
NÄSBY ALLÈ 6
Tarehe: 29/9/2012
SAA: 9 mchana mpaka saa 12 jioni
 WOTE MANAKARIBISHWA!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...