Wadau wakishuhudia Amana Bank ikizindua huduma ya Amana Mobile Banking katika Serena Hotel jijini Dar es salaam
 ICT, Manager- Delivery Channels (Bi . Bidala Mohammed Mwandugu ) akielezea jinsi ya utumiaji wa huduma ya Amana Mobile Banking
 Mkuu wa Kitengo cha Bishara Bw. Sudi Marungu - Amana Bank. akizinduwa huduma ya Amana Mobile Banking
Wadau wakishuhudia Uzinduzi wa Amana Mobile Banking


Amana Bank, Benki ya kwanza Tanzania inayofuata Sharia kikamilifu, leo tunazindua huduma ya “Amana Mobile”.
Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Kitengo cha Biashara  (Amana Bank)  Bw. Sudi Marungu alisema Dar es salaam kuwa “ Amana Mobile ni huduma za kibenki kwa kutumia mtandao wa internet na simu zamkononi.”  “Huduma  hii inalenga kuwa rahisishia wateja wetu kufanya miamala nakupata huduma mbalimbali ambazo zinatolewa  na benki yetu kwa  njia ya mtandao.  Lengo la kuanzisha huduma hii nikurahisisha usimamizi wa akaunti zawateja wakati wowote, popote walipo siku saba za wiki.” 



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hongera sana kaka sudi Marungu- atu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...