Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa program ya Safari Wezeshwa awamu ya pili iliyofanyika katika Ukumbi wa TBL jijini Dar es Salaam .Kushoto ni jaji wa program hiyo,Joseph Migunda kutoka kampuni ya TAPBDS.
Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kulia) na Joseph Migunda kutoka kampuni ya TAPBDS wakipiga makofi mara baada ya uzinduzi wa program ya Wezeshwa awamu ya pili iliyofanyika TBL Dar es Salaam.
Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo(kulia) na Mjasiliamali wa kutengeneza keki, Elizabeth Chami wakionyesha picha ya mashine ya kutengenezea keki aliyowezeshwa Dada huyo katika program hiyo awamu ya kwanza wakati wa uzinduzi wa program hiyo awamu ya pili iliyofanyika TBL Dar es Salaam.
Mjasiliamali wa kutengeneza keki, Elizabeth Chami (kulia)akimuonyesha Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo baadhi ya bidhaa anazozalisha kutokana na mashine aliyowezeshwa awamu ya kwanza wakati wa uzinduzi wa program hiyo awamu ya pili iliyofanyika TBL Dar es Salam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...