Balozi wa Tanzania nchini Japan Mhe. Salome Sijaona akimkaribisha rasmi Waziri wa Fedha pamoja na ujumbe kutoka Tanzania kwa chakula cha usiku alichowaandia. kutoka kulia ni Mhe. William Mgimwa Waziri wa Fedha akifuatiwa na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omary Yusuph Mzee akifuatiwa na Bw.Selivicius Likwilile Naibu Katibu Mkuu Wizara na Fedha na wengineo ni viongozi waliohudhuria hafla hiyo Jijini Tokyo – Japan.
Waziri wa Fedha Mhe. William Mgimwa akimshukuru Mhe. Balozi Salome Sijaona pamoja na mume wake Mzee Sijaona (aliye upande wa kulia kwa Mhe. Balozi Salome Sijaona) kwa mwaliko wa chakula cha usiku.
Wajumbe wa mkutano wa IMF na WB wakimsikiliza Balozi wa Tanzania nchini Japan Mhe. Salome Sijaona alipokuwa anatoa historia fupi ya ubalozi wa Tanzania.
Wajumbe wa mkutano wa IMF na WB wakimsikiliza Balozi wa Tanzania nchini Japan Mhe. Salome Sijaona alipokuwa anatoa historia fupi ya ubalozi wa Tanzania.
Balozi wa Tanzania nchini Japan Mhe. Salome Sijaona akimwelezea Waziri wa Fedha Mhe William Mgimwa mambo muhimu ambayo yanapaswa kufanyika katika Balozi zetu.
Afisa wa ubalozi Bi Agnes akiwakaribisha wageni chakula cha usiku hapo ubalozini jijini Tokyo Japan.
Wajumbe kutoka Tanzania wakishiriki chakula cha jioni pamoja na Balozi Mhe. Salome sijaona.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hongera nyingi. vurugu zimetulia huko twatumai

    ReplyDelete
  2. Mh.Mgimwa anauziwa toyota

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...